NINI CHA KUFANYA UNAPOJIKUTA UNATOKWA NA UCHAFU UKENI UNAO FANANA NA MAZIWA YA MTINDI UNAO TOA HARUFU MBAYA?
Kama ni tatizo linalo jirejea mara kwa mara unatakiwa kuonana na daktari wako kwa uchunguzi wa kina. Unatakiwa pia kuangaliwa kama unaweza ukawa unadalili za saratani ya shingo ya kizazi. Ni vyema pia kuhakikisha unapima magonjwa ya zinaa kwani yanaweza kuchangia kutapa tatizo hili mara kwa mara. Unatakiwa kuchukuliwa maji maji ya ukeni ili yaoteshwe …