low sexual desire

NINI CHA KUFANYA UNAPOJIKUTA UNATOKWA NA UCHAFU UKENI UNAO FANANA NA MAZIWA YA MTINDI UNAO TOA HARUFU MBAYA?

Kama ni tatizo linalo jirejea mara kwa mara unatakiwa kuonana na daktari wako kwa uchunguzi wa kina. Unatakiwa pia kuangaliwa kama unaweza ukawa unadalili za saratani ya shingo ya kizazi. Ni vyema pia kuhakikisha unapima magonjwa ya zinaa kwani yanaweza kuchangia kutapa tatizo hili mara kwa mara. Unatakiwa kuchukuliwa maji maji ya ukeni ili yaoteshwe …

NINI CHA KUFANYA UNAPOJIKUTA UNATOKWA NA UCHAFU UKENI UNAO FANANA NA MAZIWA YA MTINDI UNAO TOA HARUFU MBAYA? Read More »

Share na Wengine

SABABU ZA WANAWAKE KUKOSA HAMU YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA

UTANGULIZI Hamu ya kushiriki tendo la ndoa kwa wanawake huwa inabadilika mara kwa mara. Kunawakati inaweza ikawa ipo juu au chini na wakati mwingine kutoweka kabisa. Kwa mantiki hii, kama hapo awali ulikuwa huna tatizo na baada ya mda tatizo hili likaanza ni vyema kuonana na daktari kwa ushauri zaidi.   DALILI ZAKE Kutotaka kujihusisha …

SABABU ZA WANAWAKE KUKOSA HAMU YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA Read More »

Share na Wengine

Appointment

Make appointment here