dyspareunia

NINI CHA KUFANYA UNAPOJIKUTA UNATOKWA NA UCHAFU UKENI UNAO FANANA NA MAZIWA YA MTINDI UNAO TOA HARUFU MBAYA?

Kama ni tatizo linalo jirejea mara kwa mara unatakiwa kuonana na daktari wako kwa uchunguzi wa kina. Unatakiwa pia kuangaliwa kama unaweza ukawa unadalili za saratani ya shingo ya kizazi. Ni vyema pia kuhakikisha unapima magonjwa ya zinaa kwani yanaweza kuchangia kutapa tatizo hili mara kwa mara. Unatakiwa kuchukuliwa maji maji ya ukeni ili yaoteshwe …

NINI CHA KUFANYA UNAPOJIKUTA UNATOKWA NA UCHAFU UKENI UNAO FANANA NA MAZIWA YA MTINDI UNAO TOA HARUFU MBAYA? Read More »

Share na Wengine

MYOMECTOMY (UPASUAJI WA KUTOA UVIME UITWAO MYOMA AU UTERINE FIBROID)

Nini maana ya myomectomy? Hii ni aina ya upasuaji uliokusudia kutoa viuvimbe vinavyo ota kwenye kuta za mji wa mimba (uterus). Je upasuaji huu ni mkubwa au ni mdogo? Huu ni upasuaji mkuwa ambao unaweza kuchukua zaidi ya dakika 45. Na kuna baadhi wa wanawake wanaweza wakawa na viuvimbe vingi zaidi ya 10 hivyo mda …

MYOMECTOMY (UPASUAJI WA KUTOA UVIME UITWAO MYOMA AU UTERINE FIBROID) Read More »

Share na Wengine

Appointment

Make appointment here