Gynaecology Condition

Dalili za ugonjwa wa PCOS na chanzo chake

DALILI NA CHANZO CHA UGONJWA UITWAO PCOS Kirefu cha neno PCOS ni Polycystic Ovarian Syndrome. Syndrome maana yake ni tatizo lenye mkusanyiko wa dalili zaidi ya moja. Hivyo PCOS ni ugonjwa wenye dalili mbali mbali mwilini unao jitokeza kwa wanawake walio kwenye umri wa kuzaa. Nini chanzo cha PCOS? Mpaka hivi sasa chanzo cha ugonjwa huu …

Dalili za ugonjwa wa PCOS na chanzo chake Read More »

Share na Wengine

VIRUSI VYA HUMAN PAPILLOMA (HPV)

VIRUSI VYA HUMAN PAPILLOMA (HPV) NA ATHARI ZAKE HPV ni aina ya virusi vinavyojulikana sana ambavyo vinaweza kusambazwa kiurahisi kwa njia ya kujamiiana. Virusi hivi vinaweza kusababisha matatizo mbali mbali ya afya kwa binadamu ikiwemo WARTS mpaka SARATANI. Virusi hivi vipo vya aina nyingi sana ila kwa ujumla wake vimewekwa katika makundi makuu mawili; Virusi …

VIRUSI VYA HUMAN PAPILLOMA (HPV) Read More »

Share na Wengine

NINI CHA KUFANYA UNAPOJIKUTA UNATOKWA NA UCHAFU UKENI UNAO FANANA NA MAZIWA YA MTINDI UNAO TOA HARUFU MBAYA?

Kama ni tatizo linalo jirejea mara kwa mara unatakiwa kuonana na daktari wako kwa uchunguzi wa kina. Unatakiwa pia kuangaliwa kama unaweza ukawa unadalili za saratani ya shingo ya kizazi. Ni vyema pia kuhakikisha unapima magonjwa ya zinaa kwani yanaweza kuchangia kutapa tatizo hili mara kwa mara. Unatakiwa kuchukuliwa maji maji ya ukeni ili yaoteshwe …

NINI CHA KUFANYA UNAPOJIKUTA UNATOKWA NA UCHAFU UKENI UNAO FANANA NA MAZIWA YA MTINDI UNAO TOA HARUFU MBAYA? Read More »

Share na Wengine

MYOMECTOMY (UPASUAJI WA KUTOA UVIME UITWAO MYOMA AU UTERINE FIBROID)

Nini maana ya myomectomy? Hii ni aina ya upasuaji uliokusudia kutoa viuvimbe vinavyo ota kwenye kuta za mji wa mimba (uterus). Je upasuaji huu ni mkubwa au ni mdogo? Huu ni upasuaji mkuwa ambao unaweza kuchukua zaidi ya dakika 45. Na kuna baadhi wa wanawake wanaweza wakawa na viuvimbe vingi zaidi ya 10 hivyo mda …

MYOMECTOMY (UPASUAJI WA KUTOA UVIME UITWAO MYOMA AU UTERINE FIBROID) Read More »

Share na Wengine

JINSI YA KUEPUKA MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA

Maumivu kipindi cha kushiriki tendo la ndoa ni jambo ambalo limekuwa linajitokeza mara nyingi kwa wahusika ambalo limefikia mahala na kuathiri saikolojia ya wanandoa. Tatizo hili linapelekea wahusika kukosa hamu ya kushiriki tendo hilo na hatimaye kusababisha uaminifu kupungua katika mahusiano. Waanga wakubwa wa tatizo hili ni wanawake na ndio wanaopokea shutuma nyingi kutoka kwa …

JINSI YA KUEPUKA MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA Read More »

Share na Wengine

SABABU ZA WANAWAKE KUKOSA HAMU YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA

UTANGULIZI Hamu ya kushiriki tendo la ndoa kwa wanawake huwa inabadilika mara kwa mara. Kunawakati inaweza ikawa ipo juu au chini na wakati mwingine kutoweka kabisa. Kwa mantiki hii, kama hapo awali ulikuwa huna tatizo na baada ya mda tatizo hili likaanza ni vyema kuonana na daktari kwa ushauri zaidi.   DALILI ZAKE Kutotaka kujihusisha …

SABABU ZA WANAWAKE KUKOSA HAMU YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA Read More »

Share na Wengine

FANGASI ZA UKENI (VAGINA YEAST INFECTION)

Huu ni ugonjwa unaoshika nafasi ya pili katika kuathiri sehezu za siri za mwanamke katika kipindi cha balee. Ungonjwa huu una athiri sehemu za nje na ndani ya uke (intravaginal). Tafiti zinaonyesha asilimia 70-75% ya wanawake walio katika balee wanaweza kupata tatizo hili japo mara moja. Na zaidi ya asilimia 40% tatizo hili linaweza kujirudia …

FANGASI ZA UKENI (VAGINA YEAST INFECTION) Read More »

Share na Wengine

TAMBUA MZUNGUKO WAKO WA HEDHI(MENSTRUATION)

Hedhi, ni kipindi ambacho msichana/mwanamke katika umri wa balee anakuwa anatokwa na damu ukeni kama ishara ya mfumo wa uzazi kuwa upo kamilifu. Katika mambo yanayo wapa changamoto wanawake ni maswala ya hedhi/menses. Kuna wanawake wanamatatizo ya hedhi lakini wao wanaona kawaida kwa sababu wamekuwa katika hali hiyo mda mrefu sana hivyo imekuwa kama ni sehemu …

TAMBUA MZUNGUKO WAKO WA HEDHI(MENSTRUATION) Read More »

Share na Wengine

Genital Prolapse (Kuporomoka kwa mfuko wa uzazi)

GENITAL PROLAPSE (KUPOROMOKA KWA MFUKO WA UZAZI) Mfuko wa uzazi ni kiungo muhimu kwa mwanamke ambapo ndipo mimba zinapotakiwa kutunga na kukuwa. Lakini pia ni kiungo ambacho kimekuwa kikizongwa na magonjwa kadha wa kadha na kusababisha wanawake kufika hospitali kwa huduma tofauti. Matatizo ambayo yanajitokeza zaidi kwenye kiungo hiki muhimu ni kama; kutokwa na damu …

Genital Prolapse (Kuporomoka kwa mfuko wa uzazi) Read More »

Share na Wengine

Appointment

Make appointment here